Julai iliyopita jamii ndogo ya Wagga ilishambuliwa na Boko Haram, kundi la waasi wa Kiislamu wenye itikadi kali. Zaidi ya magaidi 300 walikuja kijijini wakiwa wamepanda pikipiki na magari. Wengi wa Wakristo walikimbia kijiji wakitambua kwamba wangekuwa walengwa wa kwanza ikiwa wangebaki.