"Hii itakuwa ishara kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo na amelala horini" — ( Luka 2:12 ).
Ilianza kwa urahisi
katika hori ya ng'ombe ya Bethlehemu.
Lakini ilikuwa ni muujiza
kupita kipimo.
Kurasa za habari za mtandaoni zitaanza tena kufuatia likizo, Jumanne, Januari 2.