Kusanyiko la watu wa Mungu...
Kanisa la kimataifa la Ndugu
“Baada ya hayo nikaona, na palikuwa na mkutano mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila zote na jamaa na lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele za Mwana-Kondoo.
Ibada ~ Wazungumzaji wakuu ~ Warsha ~ Ushirika na Ndugu kutoka karibu na mbali