Imani ya Elizabeti na Mariamu
Hadithi mbili zinaungana wakati Gabrieli anapomjulisha Mariamu kuhusu ujauzito wa Elizabeti
na Mariamu anaharakisha kumwona.
Hadithi mbili zinaungana wakati Gabrieli anapomjulisha Mariamu kuhusu ujauzito wa Elizabeti
na Mariamu anaharakisha kumwona.
Katika Injili zote, wanawake wapo kila wakati, wakichangia tendo, iwe wametajwa au la. Hakika katika hadithi za Kiyama wanaonekana wanawake. Lakini bado wanapuuzwa!
Tunawezaje kutia nguvu hekima ya wanawake wanaopata nafasi katika jumuiya ya Mungu licha ya vizuizi?